Font Size
Marko 7:35-37
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 7:35-37
Neno: Bibilia Takatifu
35 Wakati huo huo masikio ya yule mtu yakafunguka na ulimi wake ukawa huru akaanza kusema vizuri.
36 Yesu akawaamuru wasimwambie mtu ye yote habari hizi. Lakini kadiri alivyowazuia ndivyo walivyozidi kutangaza habari zake. 37 Watu wakastaajabu mno. Wakasema, “Amefanya mambo yote vizuri mno! Amewawezesha viziwi wasikie na bubu waseme!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica