Font Size
Marko 8:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Mafarisayo wakaja, wakaanza kumhoji Yesu. Ili kumtega, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni. 12 Akahuzunika moyoni, akawaambia, “Kwa nini kizazi hiki kinataka ishara? Nawaambieni kweli, hakitapewa ishara yo yote.” 13 Kisha aka waacha, akarudi kwenye mashua, akavuka hadi ng’ambo ya pili.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica