Font Size
Marko 8:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Yesu alihema kwa nguvu na kusema, “Kwa nini kizazi kinataka ishara? Ninawaambia ukweli: hakuna ishara itakayooneshwa kwa kizazi hiki.” 13 Kisha Yesu akawaacha, akapanda tena katika mashua, na akaondoka kwenda upande wa pili wa ziwa.
Wafuasi Washindwa Kumwelewa Yesu
(Mt 16:5-12)
14 Wakati huo huo wanafunzi walikuwa wamesahau kuleta mikate yo yote, na hawakuwa na kitu kingine isipokuwa mkate mmoja.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International