Font Size
Marko 8:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Kisha aka waacha, akarudi kwenye mashua, akavuka hadi ng’ambo ya pili.
Chachu Ya Mafarisayo Na Ya Herode
14 Wanafunzi walikuwa wamesahau kuleta mikate ya kutosha. Walikuwa na mkate mmoja tu kwenye mashua. 15 Yesu akawaonya: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica