Font Size
Marko 8:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Mbona mna macho lakini mnashindwa kuona, na masikio lakini mnashindwa kusikia? Je hamkumbuki? 19 Nilipoimega mikate mitano kuwalisha watu elfu tano, mlikusanya mabaki vikapu vingapi?” Wakamjibu, “Kumi na viwili.” 20 “Na nilipomega mikate saba kuwalisha watu elfu nne mlikusanya mabaki vikapu vingapi?” Wakamjibu, “Saba.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica