Font Size
Marko 8:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 “Ninawaonea huruma hawa watu. Wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu sasa na hawana chakula. 3 Nikiwaruhusu waende bila kula, watazimia njiani na baadhi yao wametoka mbali.”
4 Wanafunzi wake wakamjibu, “Lakini hapa nyikani tutapata wapi chakula cha kutosha kuwalisha?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica