Font Size
Marko 8:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 “Na nilipomega mikate saba kuwalisha watu elfu nne mlikusanya mabaki vikapu vingapi?” Wakamjibu, “Saba.” 21 Aka wauliza, “Je, bado tu hamwelewi?”
Yesu Amponya Kipofu Huko Bethsaida
22 Wakafika Bethsaida na baadhi ya watu wakamleta kipofu mmoja wakamsihi Yesu amguse.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica