Font Size
Marko 8:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
21 Kisha akawaambia, “Bado hamwelewi?”
Yesu Amponya Kipofu katika Kijiji cha Bethsaida
22 Walipofika katika kijiji cha Bethsaida, baadhi ya watu walimleta asiyeona kwa Yesu, na kumsihi Yesu amguse. 23 Yesu alimshika mkono yule asiyeona na kumtoa nje ya kijiji. Kisha Yesu alimtemea mate yule asiyeona kwenye macho yake, akaweka mkono wake juu ya asiyeona, na kumwuliza, “Je! Unaona kitu chochote?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International