Font Size
Marko 8:23-25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:23-25
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
23 Yesu alimshika mkono yule asiyeona na kumtoa nje ya kijiji. Kisha Yesu alimtemea mate yule asiyeona kwenye macho yake, akaweka mkono wake juu ya asiyeona, na kumwuliza, “Je! Unaona kitu chochote?”
24 Kipofu akatazama juu na kusema, “Ninaona watu; wanaonekana kama miti inayotembea.”
25 Kisha Yesu akaweka mikono yake tena kwenye macho ya yule asiyeona. Naye akafumbua wazi macho yake yote. Kwani alipona kutokuona kwake na kuona kila kitu kwa uwazi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International