Font Size
Marko 8:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
25 Yesu akamwekea tena mikono machoni. Ndipo akaona vizuri. Macho yake yakapona kabisa akaweza kuona kila kitu sawa sawa.
26 Yesu akamruhusu aende nyumbani kwake akisema, “Hata kijijini usipitie.”
27 Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda katika vijiji vya Kaisaria Filipi. Walipokuwa njiani Yesu akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica