Font Size
Marko 8:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
26 Yesu akamruhusu aende nyumbani kwake akisema, “Hata kijijini usipitie.”
27 Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda katika vijiji vya Kaisaria Filipi. Walipokuwa njiani Yesu akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
28 Wakamjibu, “ Baadhi husema wewe ni Yohana Mbatizaji; wengine husema ni Eliya na wengine husema wewe ni mmojawapo wa manabii.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica