Font Size
Marko 8:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Nikiwaruhusu waende bila kula, watazimia njiani na baadhi yao wametoka mbali.”
4 Wanafunzi wake wakamjibu, “Lakini hapa nyikani tutapata wapi chakula cha kutosha kuwalisha?”
5 Yesu akawauliza, “Mna mikate mingapi?” Wakajibu, “Saba.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica