Font Size
Marko 8:35-37
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:35-37
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
35 Kwa kuwa kila anayetaka kuusalimisha uhai wake, ataupoteza, na yeyote atakayeupoteza uhai wake kwa ajili yangu na kwa ajili ya injili atausalimisha. 36 Itampa mtu manufaa gani akiupata ulimwengu wote kisha akaupoteza uhai wake? 37 Mtu anaweza kuubadilisha uhai wake na kitu gani?
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International