Font Size
Marko 8:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Watu walikula wakatosheka na baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia wakajaza vikapu saba. 9 Na watu waliokula walikuwa wapata elfu nne. Baada ya kuwaaga, 10 aliin gia kwenye mashua pamoja na wanafunzi wake akaenda sehemu za Dal manutha.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica