Font Size
Marko 8:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 8:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 Na watu waliokula walikuwa wapata elfu nne. Baada ya kuwaaga, 10 aliin gia kwenye mashua pamoja na wanafunzi wake akaenda sehemu za Dal manutha.
11 Mafarisayo wakaja, wakaanza kumhoji Yesu. Ili kumtega, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica