Font Size
Marko 8:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 8:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
9 Ilikuwa kama watu 4,000. Kisha Yesu akawaacha waende. 10 Mara Yesu akapanda katika mashua na wanafunzi wake, na akafika katika wilaya ya Dalmanutha.
Baadhi ya Watu Wawa na Mashaka na Mamlaka ya Yesu
(Mt 16:1-4; Lk 11:16,29)
11 Mafarisayo wakamwendea Yesu na kuanza kubishana naye. Ili kumjaribu wakamwomba ishara kutoka mbinguni.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International