Font Size
Marko 9:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 9:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
9 Yesu akaendelea kuwaambia, ‘ ‘Ninawahakikishia kuwa wapo watu hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu ukija kwa nguvu.”
Yesu Ageuka Sura
2 Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana akawapeleka juu ya mlima mrefu ambapo walikuwa faraghani, peke yao. Na huko, wakiwa wanamtazama, Yesu akageuka sura.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica