Font Size
Marko 9:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 9:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
19 Yesu akawaambia, “Ninyi kizazi kisicho na imani! Nita kuwa nanyi mpaka lini? Nitawavumilia mpaka lini? Mleteni huyo mtoto kwangu!” 20 Wakamleta. Yule pepo alipomwona Yesu, alimtia yule mvulana kifafa, akaanguka chini akajiviringisha viringisha huku akitokwa na povu mdomoni. 21 Yesu akamwuliza baba yake, “Mwanao amekuwa na hali hii tangu lini?” Akamjibu, “Tangu utoto wake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica