Font Size
Marko 9:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 9:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
23 Yesu akasema, “Kama unaweza! Kila kitu kinawezekana kwa mtu mwenye imani.” 24 Ndipo yule baba akasema kwa sauti, “Ninaamini. Nisaidie niweze kuamini zaidi!” 25 Naye Yesu ali poona umati wa watu unazidi kusongana kuja hapo walipokuwa, akam kemea yule pepo mchafu akisema, “Wewe pepo bubu na kiziwi, naku amuru umtoke, usimwingie tena!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica