Font Size
Marko 9:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 9:26-28
Neno: Bibilia Takatifu
26 Yule pepo akapiga kelele, akamtia kifafa kwa nguvu kisha akatoka. Yule mvulana alionekana kama amekufa; kwa hiyo watu wengi wakasema, “Amekufa.” 27 Lakini Yesu akamshika mkono akamwinua, naye akasimama.
28 Walipokwisha kuingia ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamwuliza wakiwa peke yao, “Mbona sisi hatukuweza kumtoa huyo pepo?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica