Font Size
Marko 9:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 9:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
28 Baada ya Yesu kuingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuuliza wakiwa peke yao, “Kwa nini sisi hatukuweza kumfukuza pepo yule?”
29 Naye akawaambia, “Aina hii haiwezi kutoka isipokuwa kwa maombi.”[a]
Yesu Azungumza Kuhusu Kifo Chake
(Mt 17:22-23; Lk 9:43-45)
30 Wakaondoka mahali pale na kusafiri kupitia Galilaya. Yesu hakutaka mtu yeyote kujua walikuwa huko,
Read full chapterFootnotes
- 9:29 maombi Nakala zingine za Kiyunani zina “maombi na kufunga”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International