Font Size
Marko 9:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 9:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
31 kwa maana alikuwa anawa fundisha wanafunzi wake. Alikuwa akiwaambia, “Mimi Mwana wa Adamu nitasalitiwa mikononi mwa watu ambao wataniua, lakini siku ya tatu baada ya kuuawa, nitafufuka.” 32 Lakini wao hawakuelewa alichokuwa akisema na waliogopa kumwuliza.
Mabishano Kuhusu Aliye Mkuu
33 Basi wakafika Kapernaumu na baada ya kuingia nyumbani akawauliza, “Mlikuwa mnabishana nini njiani?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica