Font Size
Marko 9:40-42
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 9:40-42
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
40 Yeye ambaye hapingani na sisi basi yuko pamoja na sisi. 41 Yeyote anayewapa ninyi kikombe cha maji kwa sababu ninyi ni wake Kristo.[a] Hakika ninawaambia ukweli kwamba, hatapoteza thawabu yake.
Yesu Aonya Kuhusu Chanzo cha Dhambi
(Mt 18:6-9; Lk 17:1-2)
42 Yeyote anayemsababisha mmoja wa hawa walio wadogo ambao wananiamini mimi kujikwaa na kuanguka, itakuwa bora kwake ikiwa atatupwa baharini huku amefungwa jiwe la kusagia shingoni mwake.
Read full chapterFootnotes
- 9:41 Kristo Mpakwa mafuta au masihi, aliyechaguliwa na Mungu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International