Font Size
Marko 9:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 9:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Petro akamwambia Yesu , “Mwalimu, ni vizuri kwamba sisi tuko hapa. Tutengeneze vibanda vitatu: kimoja chako, kimoja cha Musa na kingine cha Eliya.” 6 Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.
7 Ndipo pakatokea wingu, likawafunika, na sauti kutoka katika wingu hilo ikasema, “Huyu ni mwanangu nimpendaye, msikilizeni yeye.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica