Font Size
Marko 9:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 9:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Ndipo pakatokea wingu, likawafunika, na sauti kutoka katika wingu hilo ikasema, “Huyu ni mwanangu nimpendaye, msikilizeni yeye.” 8 Mara walipotazama huku na huku hawakuona mtu mwingine tena isipokuwa Yesu.
9 Walipokuwa wakiteremka mlimani, Yesu akawakataza wasim wambie mtu ye yote mambo waliyoona, mpaka yeye Mwana wa Mungu atakapofufuka kutoka kwa wafu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica