Font Size
Matayo 1:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 1:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Azori alikuwa baba yake Zadoki; Zadoki alikuwa baba yake Akimu; Akimu alikuwa baba yake Eliudi; 15 Eliudi alikuwa baba yake Elieza; Elieza alikuwa baba yake Matani; Matani alikuwa baba yake Yakobo; 16 Yakobo alikuwa baba yake Yosefu ambaye alikuwa mumewe Mar ia, aliyemzaa Yesu anayeitwa Kristo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica