Font Size
Matayo 1:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 1:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Yese alikuwa baba yake Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi alikuwa baba yake Solomoni ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria; 7 Solomoni alikuwa baba yake Rehoboamu; Rehoboamu alikuwa baba yake Abiya; Abiya alikuwa baba yake Asa; 8 Asa alikuwa baba yake Yehoshafati; Yehoshafati alikuwa baba yake Yoramu; Yoramu alikuwa baba yake Uzia;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica