Font Size
Matayo 1:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 1:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 Uzia alikuwa baba yake Yothamu; Yothamu alikuwa baba yake Ahazi; Ahazi alikuwa baba yake Hezekia; 10 Hezekia alikuwa baba yake Manase; Manase alikuwa baba yake Amoni; Amoni alikuwa baba yake Yosia; 11 wakati wa uhamisho wa Babiloni, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica