Font Size
Matayo 10:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 10:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Awatuma Wanafunzi Wake Kumi Na Wawili
10 Ndipo Yesu akawaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa mamlaka ya kutoa pepo wachafu na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila aina. 2 Majina ya hao wanafunzi kumi na wawili ni haya: 3 wa kwanza, Simon, ambaye aliitwa Petro, na Andrea ndugu yake; Yakobo, mwana wa Zebedayo na Yohana ndugu yake; Filipo na Bartholomayo; Tomaso na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo mwana wa Alfayo, na Thadayo;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica