Font Size
Matayo 10:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 10:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 “Mkiingia katika mji au kijiji cho chote, mtafuteni mtu mwaminifu mkae kwake mpaka mtakapoondoka. 12 Kila nyumba mtakay oingia, toeni salamu. 13 Kama watu wa nyumba hiyo wanastahili, amani yenu na ikae kwao; na kama hawastahili, amani yenu itawaru dia ninyi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica