Font Size
Matayo 10:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 10:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Na kama mtu ye yote akikataa kuwapokea au kusiki liza maneno yenu, mtakapoondoka katika nyumba hiyo au mji huo, kung’uteni mavumbi yatakayokuwa miguuni mwenu. 15 Nawaambieni hakika, siku ile ya hukumu itakuwa nafuu kwa Sodoma na Gomora kuliko itakavyokuwa kwa mji huo.”
Yesu Awatayarisha Wanafunzi Wake Kwa Mateso
16 “Ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu. Kwa hiyo muwe werevu kama nyoka na wapole kama hua.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica