Font Size
Matayo 12:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
16 Akawa kataza wasimtangaze. 17 Hii ilikuwa ili yatimie maneno aliyosema nabii Isaya: 18 “Mtazameni mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu ambaye moyo wangu unapendezwa naye. Nitaweka Roho yangu juu yake , naye atatangaza haki kwa watu wa mataifa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica