Font Size
Matayo 12:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 “Mtazameni mtumishi wangu niliyemchagua, mpendwa wangu ambaye moyo wangu unapendezwa naye. Nitaweka Roho yangu juu yake , naye atatangaza haki kwa watu wa mataifa. 19 Hatabishana wala hatapiga kelele, sauti yake haitasikika mitaani. 20 Hataponda unyasi uliochubuliwa wala hatazima mshumaa unaokaribia kuzima, mpaka atakapoifanya haki ipate ushindi;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica