Font Size
Matayo 12:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
19 Hatabishana wala hatapiga kelele, sauti yake haitasikika mitaani. 20 Hataponda unyasi uliochubuliwa wala hatazima mshumaa unaokaribia kuzima, mpaka atakapoifanya haki ipate ushindi; 21 na watu wa mataifa wataweka tumaini lao katika jina lake.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica