Font Size
Matayo 12:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 12:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
Mafundisho Kuhusu Pepo Mchafu
43 “Pepo mchafu akimtoka mtu, huzunguka sehemu kame akita futa mahali pa kupumzika, lakini hapati. 44 Ndipo husema, ‘Nitarudi kwenye ile nyumba yangu nilikotoka.’ Na anaporudi, anaikuta ile nyumba ikiwa tupu, imefagiliwa na kupangwa vizuri. 45 Kisha huenda na kuwaleta pepo wengine saba, wabaya zaidi kuliko yeye, nao huingia na kuishi huko. Na hali ya mwisho ya mtu huyo inakuwa mbaya zaidi kuliko mwanzo.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica