Font Size
Matayo 18:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 18:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Hakuna Mwisho Wa Kusamehe
21 Kisha Petro akaja kwa Yesu akamwuliza, “Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami niendelee kumsamehe? Hata mara saba?” 22 Yesu akamjibu, “Sikuambii mara saba, bali saba mara sabini.”
Mfano Wa Mdaiwa Asiyesamehe
23 “Kwa hiyo Ufalme wa mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme aliyetaka kukamilisha hesabu zake za fedha na watumishi wake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica