Font Size
Matayo 19:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 19:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Yesu akawaambia, “Waacheni watoto waje kwangu, msiwazuie; kwa maana Ufalme wa mbinguni ni wa walio kama hawa. 15 Alipokwisha wawekea mikono akaondoka.
Mtu Tajiri
16 Mtu mmoja alikuja kwa Yesu akamwuliza, “Mwalimu, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica