Font Size
Matayo 19:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 19:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Mtu Tajiri
16 Mtu mmoja alikuja kwa Yesu akamwuliza, “Mwalimu, nifanye jambo gani jema ili nipate uzima wa milele?”
17 Yesu akamjibu, “Mbona unaniuliza kuhusu jambo jema? Kuna mmoja tu aliye mwema . Lakini kama unataka kuingia uzimani, tii amri.”
18 Yule mtu akamwuliza, “Amri zipi?” Yesu akamjibu, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica