Font Size
Matayo 19:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 19:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
17 Yesu akamjibu, “Mbona unaniuliza kuhusu jambo jema? Kuna mmoja tu aliye mwema . Lakini kama unataka kuingia uzimani, tii amri.”
18 Yule mtu akamwuliza, “Amri zipi?” Yesu akamjibu, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo, 19 waheshimu baba yako na mama yako na umpende jirani yako kama nafsi yako.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica