Font Size
Matayo 19:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 19:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Yule mtu akamwuliza, “Amri zipi?” Yesu akamjibu, “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo, 19 waheshimu baba yako na mama yako na umpende jirani yako kama nafsi yako.”
20 Yule kijana akasema, “Zote hizi nimezitii. Ninapungukiwa na nini zaidi?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica