Font Size
Matayo 19:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 19:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Wakamwuliza, “Kwa nini basi Musa aliagiza kwamba mtu anaweza kumpa mkewe hati ya talaka na kumwacha?” 8 Yesu akawa jibu, “Musa aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu mioyo yenu ni migumu. Lakini tangu mwanzo haikukusudiwa iwe hivyo. 9 Nami nawaambieni, mtu ye yote anayemwacha mkewe, isipokuwa kwa sababu ya uasherati, akaoa mke mwingine, anazini.” [“Na mtu anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka pia anazini.”]
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica