Baba yangu.”

30 Walipokwisha kuimba wimbo walikwenda kwenye mlima wa Mizeituni.

Yesu Amwambia Petro Atamkana

31 Kisha Yesu akawaambia, “Usiku wa leo kila mmoja wenu atanikimbia kwa maana Maandiko yanasema, ‘Nitampiga mchungaji, na kondoo wote wa kundi lake watatawanyika.’ 32 Lakini baada ya kufufuka, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Read full chapter