Font Size
Matayo 26:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 26:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
33 Petro akasema, “Hata kama wote watakuacha, mimi sitaku acha.”
34 Yesu akamjibu, “Ninakuambia kweli, usiku huu huu, kabla jogoo hajawika, utanikana mara tatu.” 35 Lakini Petro akasema, “Hata kama itabidi nife pamoja na wewe, sitakukana.” Na wana funzi wote wakasema hivyo hivyo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica