Font Size
Matayo 26:49-51
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 26:49-51
Neno: Bibilia Takatifu
49 Basi alipofika, alimwendea Yesu moja kwa moja, akamsalimia, “Salaam, Rabi!” Akambusu. 50 Yesu akamjibu, “Rafiki, umekuja kufanya nini hapa?” Basi wale watu wakasogea, wakamkamata Yesu. 51 Ndipo mmojawapo wa wafuasi wa Yesu ali poona hivyo, akachukua panga lake, akampiga nalo mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica