Font Size
Matayo 26:66-68
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 26:66-68
Neno: Bibilia Takatifu
66 Mnaamuaje?” Wakajibu, “Anastahili kufa!”
67 Kisha wakamtemea mate usoni; wengine wakampiga ngumi na makofi, 68 wakasema, “Hebu toa unabii wewe Kristo! Ni nani ame kupiga?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica