Font Size
Matayo 26:67-69
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 26:67-69
Neno: Bibilia Takatifu
67 Kisha wakamtemea mate usoni; wengine wakampiga ngumi na makofi, 68 wakasema, “Hebu toa unabii wewe Kristo! Ni nani ame kupiga?”
69 Wakati huo Petro alikuwa amekaa uani. Mtumishi mmoja wa kike akamjia akamwambia, “Wewe pia ulikuwa pamoja na Yesu wa Galilaya.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica