Font Size
Matayo 27:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 27:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Apelekwa Kwa Pilato
27 Asubuhi na mapema, makuhani wakuu wote na wazee walifanya mkutano, wakashauriana jinsi ya kumwua. 2 Wakamfunga, wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato ambaye alikuwa gavana.
Majuto Ya Yuda
3 Yuda, ambaye alimsaliti Yesu, alipoona kuwa Yesu amehuku miwa alijuta. Akazirudisha zile fedha alizopewa kwa makuhani wakuu na wazee
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica