Font Size
Matayo 27:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 27:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 wakanunulia shamba la mfinyanzi kama Bwana alivyon iagiza.”
Yesu Mbele Ya Pilato
11 Yesu akapelekwa mbele ya gavana naye akamwuliza, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Hayo umetamka wewe.” 12 Lakini makuhani wakuu na wazee walipomshtaki kwa mambo mengi hakujibu neno.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica