Font Size
Matayo 27:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 27:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakamfunga, wakampeleka na kumkabidhi kwa Pilato ambaye alikuwa gavana.
Majuto Ya Yuda
3 Yuda, ambaye alimsaliti Yesu, alipoona kuwa Yesu amehuku miwa alijuta. Akazirudisha zile fedha alizopewa kwa makuhani wakuu na wazee 4 akawaambia, “Nimetenda dhambi kwa maana nimem saliti mtu asiye na hatia.” Wakamjibu, “Hilo latuhusu nini sisi? Ni shauri yako.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica