Font Size
Matayo 27:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 27:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Wale makuhani wakuu wakazichukua zile fedha wakasema, “Si halali kuchanganya fedha hizi na sadaka kwa sababu hizi ni fedha zenye damu.” 7 Kwa hiyo baada ya kujadiliana waliamua kuzitumia kununua shamba la mfinyanzi, liwe mahali pa kuzikia wageni. 8 Kwa hiyo shamba hili limeitwa ‘Shamba la damu’ hadi leo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica